TICO EDITOR

Saturday, June 4, 2011

SANAA YA BONGO ILI IKUWE YAHITAJI KUJITUMA,DADY

Msanii DADY RAMADHANI kutoka S.A ambaye kwa sasa yuko nchini tanzania kwa ajiri ya kukamilisha baadhi ya movie,amesema kuwa sanaa ya hapa tanzania inahitaji kujituma sana ili iweze kuleta ushindani na mataifa mengine ambayo kwa sasa yamefika mbali na kuwafanya wasanii wenyewe kunufaika na kazi zao tofauti na hapa nchini msanii bado ana hali duni,DADY amesema kazi ambazo amefanya mpaka sasa moja tayari imekamilika na ipo tayari kuingia sokoni wiki hii ambayo ni filamu ya home village pia amesema kuwa filamu hiyo ataleta mabadiliko sana kutokana na jinsi ambavyo wasanii wamejituma na kufanya kitu ambacho bilashaka kitaleta mabadiliko katika tasnia hii ya filamu tanzania