TICO EDITOR

Sunday, October 17, 2010

FILAMU MPYA YA CROSS ROAD IKO NJIANI

Watanzania kaeni mkao wa kula CROSS ROAD filam bora ya kitanzania iko njiani muda si mrefu itaingia kunako soko...
filamu hiyo imewashirikisha wasanii wenye uwezo kama Hemed Suleiman, Jackson Kabirigi, Glady, Badra na wengineo wengi...