
"Mimi sio machepele na kusema kweli nakerwa sana na kitendo cha baadhi ya watu kunibeza kwa kitendo changu cha kutangaza kwamba nimeokoka, sijui kwa nini watu hawaniamini?" alisema Mainda alipokuwa akizungumza na Timamu Effects ndani ya viwanja vya Ledaz jijini dar.