
"Kwakipindi kirefu nimekuwa kimya lakini nataka kuwaambia wadu kuwa nilikuwa chimbo nikipata mafunzo ya jinsi ya kuiunda volcano ambayo naamini itaitikisa tasnia ya filamu na kuwafanya wadau kuamini kuwa nililetwa duniani kwa lengo lakuushangaza ulimwengu" alisema Denis alipokuwa akiongea na TIMAMU EFFECTS.
Pia alipoulizwa ni ujio gani anatarajia kuja nao baada ya TEMTATION akasema kuwa "wadau watarajie vumbi katika FANS TOUR filamu mpya iliyotengenezwa kwa kiwango cha kimataifa chini ya kampuni ya MAGIC SCREEN iliyopo jijini Dar"