Msanii wa kizazi kipya bakari hassan au beca awashukuru watanzania kwa kuipokea vizuri video yake mpya ya natumaini remix.
"kwa kweli napata farijiko kila nikiona simu yangu inaita na kati ya simu 50 ambazo nazopokea kwa siku simu 30 sinakuwa nizapongezi juu ya video ya wimbo wangu wa natumaini" alisema beca alipozungumza na TIMAMU EFFECTS
"kwa kweli napata farijiko kila nikiona simu yangu inaita na kati ya simu 50 ambazo nazopokea kwa siku simu 30 sinakuwa nizapongezi juu ya video ya wimbo wangu wa natumaini" alisema beca alipozungumza na TIMAMU EFFECTS