"kiukweli nilishangaa sana na nilipochunguza kwanini wananifananisha na msanii huyo ambaye makazi yake ni nchini Africa ya Kusini, baadhi ya watu waliniambia kuwa kufananishwa kwangu kulitokana na jinsi nilivyoigiza katika filamu ya MY NEPHEW iliyofanywa nchini South Africa" alisema Jackson kabirigi.
Ndani ya filamu hiyo iliyorekodiwa na kuongozwa na RASHID MRUTU, pia kufanyiwa editing na TIMOTH CONRAD wa TIMAMU EFFECTS, wameshiriki waigizaji wakubwa kutoka nchini Africa Kusini, Botswana, Ghana, Uganda, Tanzania...