TICO EDITOR

Friday, February 25, 2011

HOME VILLAGE SASA IPO JIKONI

 Hapa kazi ikiendelea
 Denis David naye amepata nafasi yakuonyesha kipai chke
 Mi nawaita maembe  ya TIMAMU EFFECTS Jackson na Denis
 Hili ni zao jipya  katika tasnia ya filam anaitwa ANGEL naye ameonyesha ujuzi ndani ya HOME VILLAGE
Bashiri production designer wetu naye ameshiriki
Mwanadada ANGEL yupo kazini
Badra akiwa katika moja ya scene za filam hiyo
The Best cameraman in TZ TIMOTH CONRAD au wengi wanapenda kumuita TICO akiwa kazini
Yani full mauaji ndani ya HOME VILAGE
kazi kama kawa
Rashid mrutu naye alikuwepo location kutoa 'sapoti'
hapa baada ya kutoka kupiga scene moja ngumu sana
JEMBEEE anaitwa HAMISI CHECHE wakazi wa mabibo wanamfahamu maana ndiye mtemi wao naye ameshiriki katika filam hii
TICO TICOLA KAMA KAWA
Moja ya scene ngumu alizocheza bashiri bashirima
duu jack kwa kujituma tuu hajambo
JEMBEEE wanamuita 50 cent sijui kwanini lakini naye ameshiriki
hapa tuko pamoja 
full shangwe ikifika jioni tukiwa kambini kwetu kwa mzee joto
 Usister duu kando hapa kazi kwanza
duu ebwana tulichoka kinoma