TICO EDITOR

Monday, January 3, 2011

EID PALMER ON "A MOMENT WITH" IS COMING SOON

Eid Palmer mtangazaji wa kipindi kipya kabisa cha A moment with anatarajia kufanya kipindi na msanii wa filam JACKSON KABIRIGI.

"Lengo langu ni kukonga nyoyo za watu kwa kuwatimizia kila ambacho wanakihitaji kutaka katika kipindi cha a moment with kwa sasa nipo katika maandalizi ya kipindi hicho na nimekuwa nikipokea maoni mbali hasa kwa watu ambao nimekuwa nikiwashirikisha juu ya idea ya kipindi cha a moment with ambacho natarajia kianze kuwa hewani hivi karibuni katika moja ya vituo vikubwa vya television hapa Tanzania watu wengi wameonyesha kukikubali na kuomba japo kwa kipindi cha mwanzoni nimwalike JACKSON KABIRIGI kwani wamekuwa wakitamani kujua mengi sana juu yake" alisema Eid Palmer ambaye ndiye mtangazaji wa kipindi hicho cha A moment with ambacho anakifanya akiwa ndani ya kampuni za MAGIC SCREEN na TIMAMU EFFECTS.