TICO EDITOR

Monday, January 3, 2011

RED & GREEN MOVIE IS COMING SOON

filamu mpya ya kitanzania iliyorekodiwa kwa kiwango cha kimataifa chini ya kampuni mbili zilizobobea katika utengenezaji wa filam nchini Tanzania MAGIC SCREEN na TIMAMU EFFECTS, inatarajiwa kuingia sokoni mapema mwaka 2011, kwa sasa ipo jikoni ikifanyiwa editing na maujanja ya kimataifa.
filamu hiyo ambayo imekutanisha wasanii pamoja na watendaji wa production wenye uwezo wa hali ya juu katika kazi, kwa upande wa wasanii ambao wameshiriki ni pamoja na JACKSON KABIRIGI aliyewahi kutamba katika filamu kama born to suffer, nunda, cross roads, my nephew na nyingine nyingi, pia yumo DENIS DAVID aliyewahi kung'aa katika fulamu ya Temtation na nyingine nyingi, pia wamo wasanii kama baga, mohamed ( M2 ), Bi mariam, Annie pamoja na wengineo wengi. pia kwa upande wa production crew wamesimama HANS HIDA na TIMOTH CONRAD katika upande wa kupiga picha na editing, pia DIRECTOR wa filamu hiyo ni TIMOTH CONRAD wakati HANS HIDA amesimama katika kitengo cha DIRECTOR OF PHOTOGRAPH, pia BARAKA amesimama kama CRANE OPARETOR.
ki ukweli filamu hiyo imetulia sana na inatarajiwa kuziteka nyoyo za watazamaji....
tembelea www.timamu.webs.com ili kupata habari zaidi juu ya RED & GREEN
KAENI MKAO WA KULA