TICO EDITOR

Thursday, December 23, 2010

SIKUWAHI KUOTA KUWA MUIGIZAJI - JACKSON KABIRIGI

JACKSON KABIRIGI aushangaza umati wa watu baada ya kutoa historia yake katika mtandao unafuatilia habari za wasanii wa Tanzania na kuziweka hewani (http://timamu.webs.com)pale aliposema kuwa hakuwahi kuota kuwa muigizaji bali ndoto zake zilikuwa ni kuwa msanii wa kuimba hasa muziki wa bongo fleva na ragaton.

JACK aliyewahi kutamba katika filam za Born to suffer, Nunda, My nephew, Cross Roads ameiambia Timamu effects habari kuwa katika maisha yake amekuwa akiwaza kuja kuwa msanii wakuigiza tofauti na watu wanavyodhani kuwa yeye alikuwa na ndoto za kuwa msanii wakuigiza ndio maana anafanya vizuri katika kila kazi anayopea kushiriki.

"kipindi naingia dar nilikuja kwa lengo moja tu kupeleka nyimbo zangu redioni na kuzipromot kisha kuanza kusambaza albamu yangu niliyoirekodia nchini uganda, lakini sikufanikiwa hata kidogo hivyo nikaambulia kujiingiza katika sanaa ya uigizaji" alisema Jackson katika waraka wa histori ya maisha yake aliouanika katika mtandao wa timamu effects news...