TICO EDITOR

Wednesday, December 15, 2010

NIMEOKOKA KIKWELI JAPO WATU HAWANIAMINI - Mainda

hivi karibuni Mainda a.k.a Binti mlokole ameweka wazi kukerwa kwake na kitendo cha baadhi ya mashabiki wake kumkejeli kwamba hawezi kuokoka na kudai kuwa amezidi umachepele...

"Mimi sio machepele na kusema kweli nakerwa sana na kitendo cha baadhi ya watu kunibeza kwa kitendo changu cha kutangaza kwamba nimeokoka, sijui kwa nini watu hawaniamini?" alisema Mainda alipokuwa akizungumza na Timamu Effects ndani ya viwanja vya Ledaz jijini dar.