TICO EDITOR

Thursday, December 23, 2010

JACKSON KABIRIGI NI ZAIDI YA ACTOR - AKIM

Muandaaji wa filamu za kitanzania aliyewahi kuandaa filamu ya damalisa iliyowahi kutamba kunakosoko la filamu nchini Akim Natibu Igembe, ameweka wazi kuwa hajawahi kukutana na muigizaji mwenye kipaji kama alichonacho jackson kabirigi aliyewahi kutamba katika filamu za MY NEPHEW, CROSS ROADS, NUNDA, BORN TO SUFFER,

"kwakweli licha ya kwamba jackson ni rafiki yangu lakini lakini pia ndiye mtu ninaeamini anaweza kufanya kila kitu ambacho atahitajika kukifanya katika kazi ya kuigiza" alisema Akim alipokuwa akizungumza na timamu effects news wakati wakiwa location wakiendela na shooting ya filamu mpya itakayokwenda kwa jina la HARD TIME.