TICO EDITOR

Friday, December 10, 2010

JACKSON KABIRIGI APANIA KUFANYA MAKAMUZI KATIKA RUGS BEGINNING...

Jackson kabirigi aliyewahi kutamba katika filam za Born to suffer, Nunda, My Nephew, Cross Road iliyotoka hivi karibuni apania kufanya makamuzi yakufamtu ndani ya filam mpya inayoandaliwa chini ya kampuni za TIMAMU EFFECTS na MAGIC SCREEN...

"japokuwa watu wamekuwa wakinikubali hasa kutokana na uwezo wakiuchezaji ambao nimekuwa nikiuonyesha katika baadhi ya filam ambazo nimewahi kushiriki, kwa sasa nataka kuwaonyesha zaidi watanzania na watu wengine Africa na dunia nzima kuwa nilizaliwa kuja kuushangaza ulimwengu" alisema jackson kabirigi

pia aliongeza kuwa ndani ya film hiyo ambayo nayeye pia ni mmoja kati ya jupo la watunzi wa filam hiyo itakuja kuwashitua watazamaji ambao wamekuwa wakidhani kuwa 'wazungu' pekee ndio wanaweza kutengeneza movie ambayo itamfanya mtazamani asinyanyuke mara anapoanza kuitaza.

"sihitaji kuongea mengi sana ila waingoje kazi kwa hamu" alisema jackson kwa kujiamini...