Msani maarufu DADY RAMADHANI kutoka S.AFRICA na kwasasa yupo inchi Tanzania kwa ajiri ya kushiriki katika filamu ya HOME VILAGE ambayo meshirikiana na wasanii mahili wa hapa inchini Tanzania akiwemo msanii JACKSON KABIRIGI,DENIS DAVID,OMARY CLAYTON,LATIFA IDABU na wengine wengi,filamu hiyo ikiwa tayari kwa ajiri ya kuingia sokoni DADY amesema kuwa watanzania watarajie filamu yenye ubora wa kimataifa na kuwa ahidi kuwa kwasasa bado yupo Tanzania kwa ajili ya kufanya mapinduzi katika tasnia hii ya filamu Tanzania.