TICO EDITOR

Wednesday, May 25, 2011

HOME VILLAGE SASA TAYARI KUINGIA SOKONI

Kwa wale wadau na wapenzi wa filamu Tanzania waliokuwa wakisubilia kwa hamu sana filamu ya HOME VILLAGE baada ya kuyaona matangazo mengi katika vyombo vya habari mbalimbali sasa ipo tayari kuingia sokoni,filamu hiyo ambayo imewakutanisha wasanii kutoka ndani na nje ya tanzania,kazi hiyo ambayo inatarajiwa kufanya vizuri na kuleta mapinduzi katika tasnia ya filamu Tanzania,
Baada ya kufanya kazi kwa nguvu lengo lilikuwa ni moja tu kufanya kazi itakayopokelewa na wapenzi wa filamu kwa mikono miwili, na kukubali kuwa watu wanafanya kazi bila kuwa na masihara, sisi yaani mimi na crew yangu ya Timamu tumekusudia kuleta mapinduzi ya vitendo na si maneno” Anasema Bob Jack