TICO EDITOR

Wednesday, May 25, 2011

UMOJA WA WANA TIMAMU EFFECTS NDIO SIRAHA YAO

Kampuni maarufu ya kuandaa filamu inchini Tanzania TIMAMU EFFECTS wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kazi nzito,msemaji mkuu wa kampuni hiyo bw. Timoth Conrad amesema kuwa umoja na ushirikiano walionao ndio moja ya siraha yao katika utendaji wakazi na kuongeza kuwa wamewaandalia watanzania kazi ambayo itakuwa ni utambulisho wa ujio mpya kabisa tofauti na kazi ambazo wamezifanya awali,ni filamu iitwayo HOME VILLAGE ambayo ipo katika hatua za mwisho kuingia sokoni,amemaliza kwa kuwashukuru watanzania kwa ushirikiano ambao wanauonyesha na kuwaomba waendelee kuwa makini katika kuangalia kazi ambazo zinafaa zenye mafundisho na zenye kuzingatia maadili.