TICO EDITOR

Wednesday, May 25, 2011

RAMADHANI PII, UJIO WANGU NI ZAIDI YA RADI

Msanii chipukizi wa filamu Tanzania Ramadhani Pii ambaye ameshiriki katika filamu ya HOME VILLAGE ameongea na chanzo chetu cha habari hapo jana katika viwanja vya mwalimu nyerere dar-er-salam msanii huyo akiwa anatokea inchini kenya nairobi kwa ajili ya maandalizi ya filamu ya TARAFA YA WAFU filamu hiyo itayomkutanisha na wasanii mahiri wa hapa nchini Tanzania kama Omary Clayton,Denis David,Jackson Kabirigi,Dady na wengine wengi,PII amesema kuwa amejiandaa vizuri sana kuonyesha uwezo wa kimataifa na kuwapa ratha watanzania