TICO EDITOR

Thursday, May 19, 2011

KIUNGO KIPYA NDANI YA TIMAMU EFFECTS

IBRAHIM LUHIZO nikijana wa kitanzania mwenye umri mdogo sana ila mwenye uwezo na kipaji kikubwa katika uandaaji wa filamu ambaye kwa sasa amejiunga na kampuni kubwa nchini tanzania TIMAMU EFFECTS ikiwa ni moja ya kujiongezea uwezo na uzoefu kutoka kwa wataalamu kama TIMOTH CONRAD,editor huyo IBRA ambaye ameanza kuonyesha uwezo wake katika filamu iitwayo MUMIANI ambayo inatarajiwa kuingia sokoni hivi karibuni,amesema kuwa amefurahi sana kujiunga na kampuni kubwa ya TIMAMU EFFECTS anaimani atafanya kazi kwa ufanisi wa hari ya juu na kuleta mabadiliko katika soko la filamu Tanzania,na amewasii watanzania kuwa wawe waangalifu na makini katika kuchagua filamu za kuangalia na si kuchagua majina ya watu maarufu.