TICO EDITOR

Thursday, May 19, 2011

MAHESABU MAKALI

Timoth conrady aka TICO camera man na editor anae tikikisa soko la filamu ndani na nje ya tanzania akiwa katika moja ya kazi,ameeleza kuwa mahesabu ni muhimu sana katika swala zima la utendaji wa kazi yake,akiwa katika maandalizi ya filamu ya HOME VILLAGE filamu ambayo imezuwa gumzo sokoni ikiwa hata bado haijatoka rasmi amesema kuwa filamu hiyo ameifanya katikka mazingira magumu sana kutokana na mahitaji ya story kuwa katika uhalisia halisi hivyo ilimbidi atumie mahesabu makali katika kuhakikisha anaitendea haki filamu hiyo ambayo ipo karibuni kuingia sokoni,kama unavyomuona TICO katika picha yupo kwenye mahesabu.